Sinema ya bwerere ilitokea katika ploti moja mtaani Dagoretti, Nairobi baada ya keyateka kuangushiwa kichapo na mpangaji kwa kumvizia mkewe.
Semasema za mtaani humo ziliarifu kwamba tabia ya barobaro huyo ilikuwa imewachosha wapangaji wengi.
Habari Nyingine: Peter Kenneth ashambuliwa kwa kuongoza ujumbe wa Mt Kenya kumtembelea Raila
Kulingana na Taifa Leo, keyateka huyo alikuwa akibisha mlango wa jamaa wakati alikuwa kazini na mama nyumba anamkaribisha kwa mikono mwili.
Inasemekana majirani walichoshwa na vituko vya wawili hao na ndiposa wakaamua kumpigia mwenye nyumba simu akiwa kazini kumweleza yaliyokuwa yakitendeka kwake. Read More...
The level of melanin can be increased from the pigments that determine the skin colour or overexposure of the skin to the sun. Dark spots can also come across as hyperpigmentation. You don't want to be caught unfresh every time you don't have makeup on. This basically means extra care needs to be given to the skin especially those that appear sensitive. The good news is that these spots can be easily eliminated if the right materials are used, which means you're not stuck with them forever. Read More...
The Economic and Financial Crimes Commission (EFCC) is set to arraign the embattled speaker of the Ogun State House of Assembly, Olakunle Oluomo. Naija News earlier reported that Oluomo was released on bail two days after he was arrested at the Murtala Mohammed International airport in Lagos state on September 1.
He was said to have been on the wanted list of the commission following his failure to honour the EFCC’s invitation several times. Read More...